*HUONI PERIOD SABABU NI HIZI HAPA.* 


Kukosa period kwa mwezi mmoja wakati mwingine inaweza isiwe shida ila ishu ni

pale unapopiga miezi 3-6 hadi mwaka

huoni kitu hapo kuna mambo ya kucheki.

🌹Lazima una tatizo kubwa la kiafya nyuma

ya pazia, la! sivyo basi utakuwa mjamzito.: Sababu hasa za kutoona period huwa ni

Pamoja na hizi zifuatazo:-


1. Kuwa na msongo wa mawazo wa kupindukia.

2. Kupungua au kuongezeka uzito sana.

3. Kushindwa kula, au kula sana vyakula

visivyokuwa na virutubisho muhimu.

4. Kufanya mazoezi kupita kiasi au kazi

ngumu sana kuliko mwili ulivyozoea.

5. Kufika ukomo wa hedhi mapema (Early

menopose)

6. Ujauzito na kunyonyesha ·

7. Magonjwa ya muda mrefu kama kisukari

na presha.


   8. Kuwa na uvimbe kwenye mayai (PCOS✅Polycystic ovarian syndrome).

9. vurugiko wa homoni (hormonal

      imbalance) 🌹Matibabu ya kukosa hedhi hutegemeana

na sababu zinazopelekea hali hiyo.



*Mfano kama ni uvimbe ndio

unaosababisha mvurugiko wa homoni,

matibabu yaliyozoeleka yanaweza kuwa

kuondoa uvimbe pamoja na matibabu ya

homoni Kuzirejesha kwenye usawa.*


*Njia nyingine ya kukabiliana na tatizo hili ni

Kutumia dawa zinazoyeyusha uvimbe.*

*Zipo

dawa za asilia ambazo zimetumika

Karne na karne kuondoa kabisa uvimbe

hata bila upasuaji*



*Hakikisha Matibabu unayopatiwa yanalenga

kiini cha Tatizo na siyo kupambana na matokeo*


*Kwa Msaada wa Matibabu  kwa suala hili na changamoto za uzazi, wasiliana nasi moja

0714100697 

𝐔𝐬𝐡𝐚𝐮𝐫𝐢 𝐧𝐢 𝐛𝐮𝐫𝐞 𝐤𝐚𝐛𝐢𝐬𝐚