๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐ ๐๐๐๐๐, (๐๐๐ฉ๐ญ๐ข๐ ๐ฎ๐ฅ๐๐๐ซ๐ฌ).
Vidonda vya tumbo (Peptic Ulcers) ni ugonjwa unaompata mtu ambapo kunatokea vijitundu au michubuko katika kuta za ndani za viungo vya mfumo wa uyeyushaji chakula.
๐๐ญ๐๐ฃ๐ฎ๐๐ฃ๐ ๐ค๐๐ฆ๐ ๐ฎ๐ง๐
๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐ ๐๐๐๐๐, (๐๐๐ฉ๐ญ๐ข๐ ๐ฎ๐ฅ๐๐๐ซ)
•Kifua kwa ndani kana kwamba unachomwa na kitu cha moto au chenye ncha kali. • Maumivu hayo wakati mwingine hutokeza mgongoni na huchoma kama sindano na kuacha maumivu makali
•๐๐ข๐๐ก๐๐๐ฎ๐๐ก๐๐๐ฎ
•๐๐ข๐ฎ๐ง๐ ๐ฎ๐ฅ๐ข๐
•๐๐ฎ๐ฆ๐๐จ ๐ค๐ฎ๐ฃ๐๐ ๐ ๐๐ฌ๐ข
•๐๐ฎ๐ฆ๐๐จ ๐ค๐ฎ๐ฐ๐๐ค๐ ๐ฆ๐จ๐ญ๐จ
•Maumivu makali sehemu kilipo kidonda.
•Kukosa choo au kupata choo kwa shida tena kikiwa kigumu na chenye kukatika kama cha mbuzi.
• Kutapika nyongo.
•Kutapika damu au kuharisha.
•Kukosa hamu ya kula.
•Kusahahu sahau na kupatwa na hasira bila sababu
๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐ ๐๐๐๐๐, (๐๐๐ฉ๐ญ๐ข๐ ๐ฎ๐ฅ๐๐๐ซ๐ฌ).
•Hali hii yaweza kusababishwa na vidonda kuenea hadi kwenye mishipa ya damu na hivyo kufanya damu kuanza kuvuja.
๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐ ๐๐๐๐๐, (๐๐๐ฉ๐ญ๐ข๐ ๐ฎ๐ฅ๐๐๐ซ๐ฌ). huweza kusababisha tundu (kutoboka kwa ukuta wa tumbo) na kufanya vitu vilivyo ndani ya utumbo kutapakaa katika tumbo (abdomen) Hali hii huitwa peritonitis na ni hatari sana na inahitaji matibabu ya dharura.
• ๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐ ๐๐๐๐๐, vinaweza pia kuenea na kuathiri pia viungo vya jirani kama vile ini au kongosho (pancrease).
•Iwapo vidonda vya tumbo vimesababishwa na H. pylori, kuna uwezekano wa kati ya mara tatu hadi ya sita ya mgonjwa kupata kansa ya tumbo (stomach cancer).
•USHAURI
Vidonda vya tumbo vinatibika na kupona kbsaa tuna product nzuri kwa ugonjwa huu wa vidonda vya tumbo haijalishi umeumwa muda mrefu kiasi gani•
๐๐ข๐ ๐ ๐๐ฎ ๐ฐ๐ก๐๐ญ๐ฌ๐๐ฉ๐ฉ
๐714100697
