𝐕𝐘𝐀𝐍𝐙𝐎 𝐕𝐘𝐀 𝐔𝐏𝐔𝐍𝐆𝐔𝐅𝐔 𝐖𝐀 𝐍𝐆𝐔𝐕𝐔 𝐙𝐀 𝐊𝐈𝐔𝐌𝐄.


Fahamu Sababu za tatizo hili;


🌿 Ujichuaji/Punyeto (𝗠𝗮𝘀𝘁𝘂𝗿𝗯𝗮𝘁𝗶𝗼𝗻).

🌿 Kitambi au Uzito kupita kiasi na unene uliozidi (Mafuta mengi mwilini).

🌿 Ukosefu wa mazoezi. 

🌿 Ulaji Holela Holela wa vyakula vyenye mafuta mengi na sukari nyingi.

🌿 Uvutaji wa Sigara, unywaji wa Pombe au utumiaji wa kemikali.

🌿 Kuwa na Msongo wa mawazo.

🌿 Kuwa na tatizo kwenye kibofu cha mkojo.

🌿 Matumizi makubwa ya dawa zenye kemikali kali za kutibu maumivu. 

 🌿Magonjwa kama kansa, vidonda vya tumbo, kisukari, presha, magonjwa ya moyo, Bawasiri, Tezi dume n.k hupelekea tatizo hili.

🌿 Umri hasa kwa wazee.

🌿Utumiaji wa Madawa ya kuboost Nguvu za kiume.


Ushauri in bure 0714100697