*DALILI ZA MVURUGIKO WA HOMONI*


☑️Kua na ukavu ukeni

☑️Maumivu wakati wa tendo la ndoa.

☑️Kutoa jasho usiku kusiko kawaida.

☑️Maumivu chini ya kitovu wakati wa hedhi.

☑️Kukosa hamu ya tendo la ndoa.

☑️Siku za hedhi kubadilika``` badilika.

☑️Kukosa hedhi kwa muda mrefu.

☑️Kutoa damu yenye mabonge mabonge wakati wa hedhi.

☑️Uchovu wa mara kwa mara.

☑️Hasira za mara kwa mara

☑️Kukosa usingizi

☑️Homa za usiku na kizunguzungu cha mara kwa mara.

☑️Mzio wa vyakula(allergy) kuchagua chagua vyakula.

☑️Kuongezeka tumbo na nyama uzembe.

☑️Kuharibika kwa ngozi (chunusi na vipele).

☑️Maumivu ya viungo.

☑️Upungufu wa nywele kichwani.

☑️Kusahau sana.

☑️kuwa na hamu ya vyakula au vinywaji vya viwandani.

☑️Kupata hedhi wakati wa ujauzito.

☑️Msongo wa mawazo kupitiliza

☑️Kutopata choo kwa wakati.

☑️Kusinyaa au kupauka kwa ngozi.

☑️Maumivu ya kichwa mara kwa mara.


MADHARA YA MVURUGIKO WA HOMONI

☑️Kutokushika ujauzito kwa muda mrefu

☑️Mimba kuharibika mara kwa mara

☑️Kuk osa mtoto au Ugumba

☑️Maumivu wakati wa tendo la ndoa


Ushauli ni bure 0714100697