JE ! UNADALILI MOJAWAPO KATI YA HIZI👇👇


⏩ukavu ukeni.


⏩Maumivu wakati wa tendo la ndoa.


⏩Kutoa jasho usiku kusiko kawaida.


⏩ ```Maumivu chini ya kitovu wakati wa hedhi.


⏩Kukosa hamu ya tendo la ndoa.``` 


⏩Siku za hedhi kubadilika``` badilika.


⏩Kukosa hedhi kwa muda mrefu.


⏩Kutoa damu yenye mabonge mabonge wakati wa hedhi.


⏩Uchovu wa mara kwa mara.


⏩Hasira za mara kwa mara


⏩Kukosa usingizi


⏩Homa za usiku na kizunguzungu cha mara kwa mara.


⏩Mzio wa vyakula(allergy) kuchagua chagua vyakula.


⏩Kuongezeka tumbo na nyama uzembe.


⏩Kuharibika kwa ngozi (chunusi na vipele).


⏩Maumivu ya viungo.


⏩Upungufu wa nywele kichwani.


⏩Kusahau sana.


⏩kuwa na hamu ya vyakula au vinywaji vya viwandani.


⏩Kupata hedhi wakati wa ujauzito.


⏩Msongo wa mawazo.


⏩Kutopata choo kwa wakati.


⏩Kusinyaa au kupauka kwa ngozi.


⏩Maumivu ya kichwa mara kwa mara.


KAMA UNAPATA BAADHI YA DALILI HIZO USIENDELEE KUKAA NA KUSUBIRI TATIZO KUWA KUBWA KWANI TAYARI UNAKUWA NA HORMONAL IMBALANCE, 


MADAHARA YAKE NI.👇👇


⏩Kutoshika ujauzito kwa muda mrefu.


⏩Mimba kuharibika mara kwa mara.


⏩Maumivu wakati wa tendo la ndoa.


⏩UTI.


⏩Kuzeeka mapema


⏩Kuziba mirija ya uzazi.


⏩ ```Uvimbe(fibroids &cysts).


_*KWA DALILI HIZO JUA KABISA UNA SHIDA YA MVURUGIKO WA VICHOCHEO AMA HORMONAL IBALANSI tuwasiliane 0714100697