π¨ *DALILI ZA MTU MWEMYE NGIRI*
ππΏDalili za ugonjwa huu wa ngiri ziko nyingi sana kwa hiyo hapa nitataja dalili chache tu.
Nazo ndizo hizi zifuatazo⤵
ππΏ1:Kubana tumbo khasa chini ya kitovu wakati wa baridi au unapokula vitu vitamu.
ππΏ2.Kupiga mingurumo tumboni.
ππΏ3.Kujaa gesi tumboni.
ππΏ4.Kuhisi haja kubwa na ukifika chooni unatoa upepo tu.
ππΏ5.Kupata haja ngumu kama ya mbuzi.
ππΏ6.Kukaa siku kadhaa bila kwenda haja kubwa.
ππΏ7.Wakati fulani unakwenda haja sana, kila mara.
ππΏ8.Unaweza kufanya jimai mara moja tu kisha hamu inakuishia hupati nguvu tena mpaka kesho.
ππΏ9.Nuru ya macho hupotea taratibu.
ππΏ10.Hutokea wakati mwingine kufanya jimai mwanzo kabisa au katikati ya tendo gari linazimika.
ππΏ11.Huvutwa makende au upande mmoja maumivu.
ππΏ12.Hupiga mishale sehemu za haja kubwa na pembeni karibu na tupu.
ππΏ13.Maumivu makali ya mgongo au kiuno.
ππΏ14.Uume kusimyaa na kunywea kama wa mtoto
ππΏ15 .Maumivu kati ya paja na kinena na hupelekea mguu kuwaka moto /kupata ganzi
ππΏ16. Kupata maumivu katikati ya kifua mithili ya chembe ya moyo (hiatal hernia).
ππΏ17. Tumbo kujaa na kuonekana kama una kitambi kumbe ni gas.
ππΏ18. Ukila vitu vyevye sukari nying kama soda nk tumbo huunguruma sana na kujaa gas.
ππΏ19. Kuvimba kwa korodan ama korodan kupanda juu(moja ama zote kwa pomoja)
*Kwa mawasiliano zaidi wasiliana nasi Kwa namba 0714100697
