πŸ’ŽWALE WA KUBADILI HOVYO VIPODOZI  πŸ’Ž


 Kuna watu wanajaribu vitu ninavyofundisha siku 3 tu anataka aone matokeo la sivyo anarukia kingine😁 na kuna wale wanatumia vipodozi wiki tu, yaani yeye uvumilivu wake mwisho siku saba yaani wiki moja🀣🀣🀣 yani hapo hata kangozi hakajajiandaa kupokea kipodozi vizuri. Anaacha ananunua kingine, hiko kingine tena anakaa nacho wiki anarukia kingine khaa!😁 


https://Drsolutionmedicalandhealthafrica.blogspot.com


INATAKIWA MJUEπŸ‘‡


Kila mmoja ana aina yake ya ngozi, Kila mmoja analifestyle yake, kila mmoja yuko na vinasaba tofauti, Kila mmoja ana namna yake ya kumanage stress, kila mmoja anacommitment yake katika kutunza ngozi yake, sasa usije ukawa humu fb/insta unavutika na muonekano wa mtu kwa picha ukaanza kujiona hufai.


πŸ‘‰Umeshauriwa bidhaa kutoka kwa unaemuamini umeanza kutumia ila unajiuliza mbona sifanani kama fulani🀣 huyo fulani unaemsema hujui anafanya nini cha ziada. Usije kufa kwa presha bure na kuona vipodozi husika havifanyi kazi, kumbe mwenye shida ni wewe inawezekana una ngozi ngumu 


πš‰π™Έπ™½π™Άπ™°πšƒπ™Έπ™° π™·π™°πšˆπ™°


πŸ‘‰Acha kulala usiku ukiwa umepaka make up.

πŸ‘‰Kunywa maji ya kutosha kila siku

πŸ‘‰Tumia bidhaa ambazo ni salama kwa ngozi yako... Pendelea bidhaa asilia. 

πŸ‘‰Tπšžπš–πš’πšŠ  kasabuni kazuri kanachokukubali πšŠπš—πšŠπšπš’πšŒ πšœπš˜πšŠπš™ πš‘πšœπš’πš–πš”πšŠπšπšŠπš’ πš–πšπšž! uwe unaosha uso wako mara 2 mpaka 3 kila siku. 

πŸ‘‰Badilisha foronya kila inapochafuka.

πŸ‘‰Ukipata bidhaa zinazokufaa tulia nazo acha kiranga. 

πŸ‘‰Jiepushe na stress 

πŸ‘‰Usijikamue chunusi kwani husababisha madoa sugu. 

πŸ‘‰Tumia sun protection utembeapo juani hasa kwa wale wenye ngozi nyeupe 


πŸ’ŽHalafu wengine mnatumia vile vipodozi ambavyo hautakiwi kuacha yani ukiacha tu unaharibika (Hasa wale mnaopaka tube)πŸ˜₯ Sasa hapo ukirukia kingine unaona hakina matokeo mazuri au kimekuharibu kumbe ni kilichopita ndo kimekuharibu baada ya kuacha kutumia. (UKIACHA KIPODOZI KAA ANGALAU WIKI HATA 2 NDO UTUMIE KIPYA) 


πŸ’ŽWALE WENYE NGOZI ZA MAFUTA PIAπŸ‘‡


Inatakiwa mjue mafuta hayatoi mafuta! Katika utaratibu wa kutunza ngozi yako, hatua ya kupaka mafuta ni hatua ya tatu. Kabla ya hatua hii kuna zingine 2 za kwanza ambapo ubora wa matokeo ya hatua ya tatu inategemea umefanya vizuri kiasi gani Katika hatua mbili za kwanza. Sasa wewe kila siku ni kubadili mafuta tu na mtu tunaelekeza humu hatua za kufanya  ila mtu anaona uvivu yeye ni bora apake zake mafuta tu alale wakati ngozi ina deadskin kibaoπŸ˜₯


πŸ’ŽPENDA NGOZI YAKO ACHA KUBADILI VIPODOZI BILA MPANGILIO MWISHOπŸ’Ž


πšƒπšžπš–πš’πšŠ πš–πšŠπšπšžπšπšŠ πš‘πšŠπš’πšŠ πš–πšŠπš£πšžπš›πš’ πš”πšžπšπš˜πš”πšŠ 𝚁𝚘𝚜𝚎 πšŽπš—πš“πš˜πš’πšœ πš–πšŠπš›πšŽπš”πšŠπš—πš’ πšžπšπšžπš›πšŠπš‘πš’πšŽ πš—πšπš˜πš£πš’ πš’πšŠπš”πš˜


π™Έπš™πšŽπš—πšπšŽ πš—πšπš˜πš£πš’ πš’πšŠπš”πš˜ ,πš’πšπšžπš—πš£πšŽ πš—πšπš˜πš£πš’ πš’πšŠπš”πš˜ ,πš’πš“πšŠπš•πš’ πš—πšπš˜πš£πš’ πš’πšŠπš”πš˜ ,πšŒπš‘πš˜πšŒπš‘πš˜πšπšŽ πš”πš’πš£πšžπš›πš’ πšžπš—πšŠπšŒπš‘πš˜πš”πš’πš˜πš—πšŠ πš”πš’πš—πšŠπšπšžπš—πš£πš πšŠ ,πš”πšžπš πšŠ πš–πš›πšŽπš–πš‹πš˜ πš–πšŠπš›πšŠ πš–πš‹πš’πš•πš’ πš£πšŠπš’πšπš’ πšžπšœπš‘πšŠπšžπš›πš’ πš—πš’ πš‹πšžπš›πšŽ πš—πš˜ 0714100697